Monday, December 30, 2013

Friday, December 27, 2013

SEMINA YA NENO LA MUNGU KARIAKOO ZANZIBAR

WASHIRIKA WAKIFUATILIA SEMINA

WAUMINI WAKIFUATILIA SEMINA

WAKATI WA SIFA MUDA MFUPI KABLA YA KUANZA

Wednesday, December 25, 2013

CHRISTMASS AND NEW YEAR MESSAGE FROM BISHOP DICKSON D. KAGANGA

 "Wapendwa washirika wenzangu wa City Christian Centre na marafiki wote wa CCC, Nawatakia Heri ya Christmas na heri ya Mwaka mpya 2014.Ni maombi yangu kuwa Mungu atusaidie sote tumalize mwaka 2013 na kuingia mwaka 2014 kwa nguvu za Mungu.Ujumbe wa majira haya ya Christmas ni 'MSIOGOPE KWA KUWA MIMI NINAWALETEA HABARI NJEMA YA FURAHA KUU ITAKAYOKUWA KWA WATU WOTE' Luka 2:10".

BISHOP D.D KAGANGA THE MAN OF STANDARD AND  BALANCED GOSPEL, THE BISHOP OF TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD CHURCHES ZANZIBAR AND SENIOR PASTOR OF  CITY CHRISTIAN CENTRE KARIAKOO ZANZIBAR



WANNE WAOKOKA IBADA YA CHRISTMAS KARIAKOO

WAUMINI

WAKATI WA SIFA

REV JONAS MKOBA

BISHOP KAGANGA

WALIOOKOKA WAKIONGOZWA SARA YA TOBA

Sunday, December 22, 2013

MAOMBI YA PFP WANNE WAOKOKA MAKUMI WAFUNGULIWA

Maombi ya PFP yanayomaliza awamu ya kwanza leo yamekuwa ya Baraka baada ya watu wanne kuokoka na makumi kufunguliwa dhidi ya vifungo vya giza(mapepo).Ibada hizo mbili ya Kiingereza na Kiswahili ziliongozwa na mchungaji kiongozi wa CCC na mkuu wa kanisa la TAG Zanzibar Askofu Kaganga.

WALIOOKOKA
MAMA ASKOFU KAGANGA AKIHUDU
WAUMINI
BABA ASKOFU D. KAGANGA AKIIMBA
BABA ASKOFU KAGANGA AKIOMBEA WASHIRIKA NA MUNGU AKIDHIHIRISHA UWEPO WAKE KWA WATU KUFUNGULIWA MAPEPO

Sunday, December 15, 2013

WATANO WAOKOKA IBADA YA MAOMBI YA PFP KARIAKOO

SHEKINA PRAISE TEAM WAKIHUDUMU

WAGENI

WAONGOFU WAPYA

WASHARIKA

ASKOFU KAGANGA AKIHUBIRI NA KUFUNDISHA

ASKOFU KAGANGA AKISOMA MATANGAZO

Saturday, December 14, 2013

MESSAGE FROM BISHOP KAGANGA

BISHOP DICKSON KAGANGA PRAYING 

"Thank you friends. For those who will be in Zanzibar 0n Sunday don't miss the service - God has given me a powerful massage and will be praying for special anointing to finish the year powerfully and enter 2014 with new dimension spiritually. it is this anointing which is going to make a big transformation in your life, and make abundant of blessings to be released - Don't miss and invite your friend"



JINSI WAUMINI WANAVYOBATIZWA BAHARI YA HINDI TAG CCC ZANZIBAR

WAKATI WA UBATIZO

WAKATI UBATIZO UNAENDELA


MSHARIKA AKIFURAHI BAADA YA KUBATIZWA

Monday, December 9, 2013

IBADA YA SIFA, KUABUDU NA MAOMBI

VIONGOZI WA IBADA

WAUMINI WAKIWA IBADANI

MTUMISHI SHADRACK AKIHUDUMU

MUIMBAJI BINAFSI AKIHUDUMU

WAHUDUMU WA MITAMBO


Monday, December 2, 2013

MESSAGE FROM BISHOP D. KAGANGA


BISHOP DICKSON KAGANGA , HIS WIFE AND CHURCH MEMBERS 

My theme was the problem faces the body of Christ today in which some ministers are almost demanding to be worshiped....
The Bible portray the church as the "bride" whereby Jesus is the "groom"
Now, in Jewish culture this was well known ideology. When a Jewish young man was engaged to a woman... It was custom for them to leave and go far to work and earn money as preparation to get married. When a bride goes - he trust one of his close friend to take care her. One of the duties of a friend was to encourage the bride.... "Don't worry, I know my friend, he is faithful and hard working person... He will definitely return..."
Problems:1. Some friends were unfaithful and TRAITORS. Instead of speaking for the bride they spoke for themselves... "Look how much I care, It is me who is doing this and that for you..."
2. Some brides forgot to think of the groom and started to give focus to a friend....
My fellow leaders.... Jesus says that he has gone but he will come again (John 14:2, 3). Therefore, let's glorify God. Let's tell our people that we are just friends of Jesus... We are not the grooms....
Members, we may do a lot in your life, but let's our focus be in Jesus (Heb. 12:3)

Sunday, December 1, 2013

MAMIA WAHUDHURIA IBADA YA SIKU YA WABABA CCC ZANZIBAR

WASHARIKA IBADANI

WASHARIKA WAKIWA IBADANI

WABABA WAKIWA WAKATI WA SIFA

WABABA WAKIIMBA

WABABA WAKIIMBA

WABABA WAKIIMBA

WAKATI WA MAOMBI

Thursday, November 28, 2013

HARUSI MBILI ZAFUNGWA TAREHE 24/11/2013 CCC KARIAKOO ZANZIBAR

MAHARUSI WAKIWA KANISANI

MCHUNGAJI KHALFAN AKIWA TAYARI KWA IBADA 


MOJA YA WANANDOA WAKILA KIAPO

WAKATI WA MAHUBIRI

IBADA YA SIFA 24/10/2013 CCC KARIAKOO ZANZIBAR

WAGENI WALIOHUDHURIA IBADA YA JUMAPILI
WAHUDUMU WA IBADA KWAYA YA ZAC
MCHUNGAJI MARY AKIONGEA NA WAGENI WETU
WAKATI WA MAOMBEZI 
ZAC WAKIHUDUMU